E- MREJESHO KUKUZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amesema Wizara hiyo imefanya maboresho mbalimbali ya mifumo yake ikiwemo mfumo wa e- mrejesho, ili kutoa fursa zaidi kwa wananchi wa pembezoni kutoa maoni, malalamiko na pongezi kuhusu huduma zinazotolewa na serikali na Taasisi zake. Mhe. Ridhiwani amebainisha hayo […] The post E- MREJESHO KUKUZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA UMMA appeared first on Jambo TV Online .