Katika mechi iliyojaa taharuki, Manchester United walilemewa kutwaa ushindi. Vijana wa Bournemouth walijituma na kuweza kusawazisha dakika za mwisho bao ambalo liliwavunja moyo mashabiki wa Manchester United ikizingatiwa walikuwa nyumbani.
#GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya
Katika mechi iliyojaa taharuki, Manchester United walilemewa kutwaa ushindi. Vijana wa Bournemouth walijituma na kuweza kusawazisha dakika za mwisho bao ambalo liliwavunja moyo mashabiki wa Manchester United ikizingatiwa walikuwa nyumbani.
#GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya