Mwigulu aagiza dawa mahsusi kupatikana hospitalini

Katika ziara yake aliyoifanya leo Jumamosi, Desemba 20, 2025 mkoani Lindi, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amekagua ujenzi wa shule ya kisasa inayojengwa na Mradi wa LNG na TPDC.