Mkurugenzi Mbarali kuwashughulikia watumishi wanaokwamisha miradi

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya, imejipanga kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato ya ndani na kuwachukulia hatua na watumishi watakaobainika kuhujumu miradi ya maendeleo.