Mapambo ya Krisimasi yaacha kilio kwa wafanyabiashara

Kupanda kwa bei za bidhaa mbalimbali nchini kumeathiri kwa kiasi kikubwa biashara za msimu wa sikukuu, huku wafanyabiashara wa miti na mapambo mengine ya Krismasi wakilalamikia uhaba wa wateja.