Askofu Mlola:Tusiharibu tunu ya amani

WATANZANIA  wametakiwa kulinda na kutunza tunu ya taifa ya amani, umoja na mshikamano, pamoja na kujiepusha na mambo yanayoweza kusababisha mifarakano miongoni mwao. The post Askofu Mlola:Tusiharibu tunu ya amani first appeared on HabariLeo .