Kinachosababisha wanaume ‘kujibusti’ nguvu za kiume kwa vidonge

Unashauriwa kula vyakula vya baharini angalau mara mbili kwa wiki. Samaki wa mafuta wana manufaa mwilini kutokana na sababu kuwa wana viwango vya juu vya asidi za mafuta ya omega-3.