Soraga awataka vijana waepuke kuvuruga amani

Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia, Habari na Ubunifu Zanzibar, Mudrik Ramadhan Soraga, amesema kuna wimbi la wapinga maendeleo linalowatumia vijana kuvuruga amani kwa kisingizio cha kupinga uchaguzi uliofanyika Oktoba 29, 2025.