Taifa Stars ilifuzu hatua ya michujo kwa mara ya kwanza baada ya kutoka sare ya 1 -1 dhidi ya Tunisia katika michuano ya AFCON inayoendelea nchini Morocco. Katika mechi zingine, Uganda Cranes walibaduliwa na Super Eagles. @caf_online #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya

Taifa Stars ilifuzu hatua ya michujo kwa mara ya kwanza baada ya kutoka sare ya 1 -1 dhidi ya Tunisia katika michuano ya AFCON inayoendelea nchini Morocco. Katika mechi zingine, Uganda Cranes walibaduliwa na Super Eagles. @caf_online #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya