Makusanyo  ya TRA yavuka lengo

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza kuvuka lengo la makusanyo ya kodi katika robo ya mwaka ya Oktoba hadi Desemba, 2025, ikikusanya Sh9.8 trilioni kati ya Sh9.6 trilioni zilizotakiwa kukusanya.