Miili sita ajali ya Moro kutambuliwa kwa DNA

Siku tatu tangu kutokea ajali iliyoua watu 10 mkoani Morogoro, ni miili minne pekee iliyotambuliwa, hali inayolazimu uchunguzi wa vinasaba (DNA) kutumika katika utambuzi kutokana na kuungua kwa kiasi kikubwa.