Rais William Ruto anapendekeza kurekebisha sheria za dawa za kulevya ili kuweka adhabu ya kifo kwa wafanyabiashara wa dawa ngumu, akisema biashara hiyo inaharibu vijana na mustakabali wa taifa. #HabariZaJambo #KituoChaWakenya

Rais William Ruto anapendekeza kurekebisha sheria za dawa za kulevya ili kuweka adhabu ya kifo kwa wafanyabiashara wa dawa ngumu, akisema biashara hiyo inaharibu vijana na mustakabali wa taifa. #HabariZaJambo #KituoChaWakenya