Mashahidi 177 kuitwa kesi ya ‘Dk Manguruwe’ kuanza kusikilizwa

Mashahidi 117 wanatarajiwa kutoa ushahidi wao mahakamani katika kesi ya kuendesha biashara ya upatu inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya, maarufu Dk Manguruwe, na mwenzake.