Askari wa JWTZ, raia watatu kortini kwa uhujumu uchumi

Katika kosa la kwanza, washtakiwa hao wanadaiwa kuwa Oktoba 21, 2025, huko eneo la Sango katika wilaya ya Moshi, walipatikana na meno ya tembo 16 na vipande 15 vya meno ya tembo vyenye thamani ya Sh591.3 milioni.