Mchungaji James Irungu kutoka Murang’a alizimia baada ya kufikisha saa 79 na dakika 40 katika changamoto ya kukumbatia mti ya saa 80, aliyokuwa akifanya ili kuvunja rekodi ya Truphena Muthoni na kuhamasisha kuhusu saratani.
#JamboMassawe #KituoChaWakenya
Mchungaji James Irungu kutoka Murang’a alizimia baada ya kufikisha saa 79 na dakika 40 katika changamoto ya kukumbatia mti ya saa 80, aliyokuwa akifanya ili kuvunja rekodi ya Truphena Muthoni na kuhamasisha kuhusu saratani.
#JamboMassawe #KituoChaWakenya