Machinga, bodaboda wapaza sauti kero za mikopo asilimia 10, Mwigulu akiri kuna shida

Dk Mwigulu amesema Serikali inalichukulia suala hilo kwa uzito na iko tayari kulitatua kwa kuhakikisha mikopo hiyo inawafikia walengwa, wakiwamo wamachinga, mama lishe na madereva wa bodaboda na bajaji.