Samia ataka ulinzi baharini

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema bahari ni eneo muhimu kwa usalama wa nchi hivyo Taasisi ya Sayansi ya Bahari ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM-IMS) itambue na kuwa waangalifu wa chochote wanachokiona baharini wanapokuwa wanafanya tafiti na kujifunza. Pia, ameagiza taasisi hiyo kuanzisha mafunzo kwa vitendo ya muda mfupi kwa wananchi wanaozunguka taasisi … The post Samia ataka ulinzi baharini first appeared on HabariLeo .