Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga SC) unampongeza Mdhamini na Mfadhili wa Klabu hiyo, GSM, kwa kumuozesha binti yake, Fatma Ghalib Said Mohammed, katika hafla ya ndoa iliyofanyika jana, Januari 10, 2026, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo ya ndoa ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa akiwemo Rais wa […] The post Yanga Yampongeza GSM Kwa Harusi ya Binti Yake Jijini Dar appeared first on Global Publishers .