Miaka 62 ya Mapinduzi na namna Zanzibar inavyokuza sekta zake kimaendeleo

Wakati leo ikiadhimishwa miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mabadiliko mengi ya kiuchumi na kijamii yanatajwa kufikiwa ikiwamo maendeleo na haiba ya visiwa hivyo.