Eliud Owalo ajitosa kwenye kinyang'anyiro cha kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Eliudi alijiuzulu jana kama naibu afisa mkuu wa wafanyikazi wa Ikulu. Je, utampigia kura? #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya

Eliud Owalo ajitosa kwenye kinyang'anyiro cha kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Eliudi alijiuzulu jana kama naibu afisa mkuu wa wafanyikazi wa Ikulu. Je, utampigia kura? #GidiNaGhostAsubuhi #KituoChaWakenya