Gabon Yaondoa Adhabu Dhidi ya Aubameyang na Timu ya Taifa

Shirikisho la Soka la Gabon limetangaza kufuta hatua zote zilizokuwa zimechukuliwa dhidi ya timu ya taifa pamoja na baadhi ya wachezaji wake, akiwemo nahodha Pierre-Emerick Aubameyang, kufuatia kuondolewa mapema kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025. Katika michuano hiyo inayoendelea nchini Morocco, Gabon ilipoteza mechi zote za Kundi F dhidi ya Cameroon, Msumbiji […] The post Gabon Yaondoa Adhabu Dhidi ya Aubameyang na Timu ya Taifa appeared first on Global Publishers .