Mtuhumiwa adaiwa kujiua kwa kujinyonga akiwa mahabusu

Mkazi wa Mtaa wa Karikacha, Kata ya Rau, mkoani Kilimanjaro, Michael Lambau (18) anadaiwa kujiua kwa kujinyonga akiwa mahabusu ya Kituo cha Polisi Moshi kati alikokuwa akishikiliwa.