Senegal wafuzu kwa fainali ya michuano ya #AFCON2025 baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Misri. Bao la kipekee la Simba wa Teranga lilifungwa na mshambulizi wa Al Nassr Sadio Mané katika dakika ya 78. #TotalEnergiesAFCON2025 #KandandaNiSisi #KituoChaWakenya

Senegal wafuzu kwa fainali ya michuano ya #AFCON2025 baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Misri. Bao la kipekee la Simba wa Teranga lilifungwa na mshambulizi wa Al Nassr Sadio Mané katika dakika ya 78. #TotalEnergiesAFCON2025 #KandandaNiSisi #KituoChaWakenya