Mwili wa mwanafunzi wakutwa ndani Mbeya

Taharuki na sintofahamu imetanda katika Mtaa wa Igodima jijini Mbeya baada ya mkazi wa eneo hilo anayedaiwa kuwa mwalimu na mwanafunzi wa Chuo Kikuu, Zainabu Mwalyepelo, kukutwa amefariki dunia nyumbani kwake.