Taasisi ya Celina Kombani yasaidia wanafunzi Moro

MOROGORO; WANAFUNZI 1,200 wa darasa la kwanza shule za msingi kwenye halmashauri tisa za mkoa wa Morogoro wanatarajia kunufaika kupatiwa madaftari na penseli kupitia Taasisi ya Celina Kombani Memorial Foundation, ukiwa ni  mkakati wa kuunga mkono juhudi za serikali uboreshaji wa elimu nchini . Kwa kuanzia  utekelezaji huo, wanafunzi 300 wa  shule za msingi sita kutoka … The post Taasisi ya Celina Kombani yasaidia wanafunzi Moro first appeared on HabariLeo .