Meja Jenerali Gaguti Afunga Rasmi Zoezi La Medani Msata

Mkuu wa Utumishi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Meja Jenerali Marco Gaguti amefunga rasmi zoezi la Medani la EX- MALIZA lililofanywa na Kuruti wa Kundi la 44/25 katika eneo la Msata tarehe 16 Januari 2026. Akizungumza baada ya kukamilika kwa zoezi hilo, Meja Jenerali Gaguti amewataka Kuruti hao wanaotarajia kuhitimu mafunzo ya […] The post Meja Jenerali Gaguti Afunga Rasmi Zoezi La Medani Msata appeared first on Global Publishers .