Anayedaiwa kujinyonga mahabusu kuzikwa leo akiacha maswali 10 tata

Msemaji wa familia hiyo, Today Rambau alisema kijana huyo (marehemu) alitofautina na baba yake mdogo, alipochukua spana za gari la marehemu baba yake, aliyefariki Novemba 22, mwaka jana.