OUT yachunguza madai ya udanganyifu wahitimu wa 2025
Kauli hiyo inakuja kufuatia taarifa zilizosambaa kupitia mitandao ya kijamii na majukwaa, zikidai uwepo wa udanganyifu kwenye matokeo ya wahitimu zaidi ya 300 wa chuo hicho, waliohitimu Novemba mwaka jana.