Profesa Mbarawa: Ujenzi Bandari ya Mbamba Bay umezingatia mabadiliko ya hali ya hewa kwa miaka 50 ijayo

‎Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema kuwa Ujenzi wa Bandari ya Mbamba bay umezingatia mabadiliko ya hali ya hewa kwa miaka hamsini ijayo. ‎ ‎Profesa Mbarawa, ameyasema hayo baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa Bandari hiyo, iliyopo wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma, inayogharimu takribani billioni 80, ambapo bilioni 75.8 kwaajili ya Mkandarasi …