UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Mambo haya 4 yakifanyika, tutaponya majeraha ya Oktoba 29

Hakuna ubishi kuwa taifa limegawanyika, watu wana maumivu makubwa mioyoni mwao kutokana na yale yaliyotokea Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata na jitihada za kulileta taifa pamoja zinaendelea, lakini kuna mambo tunakwepa kuyafanya.