Wanachama 27 wajitokeza kumrithi Jenista, vikao kuamua

Jenista alifariki dunia Desemba 11, 2025 jijini Dodoma kutokana na maradhi ya moyo na Desemba 16, 2026 alizikwa katika Kijiji cha Luanda kilichopo katika Wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma.