Mwinyi awahakikishia wawekezaji vivutio vya kodi, kuondoa urasimu

Dk Mwinyi amesema sekta ya usafiri baharini ni muhimu katika maendeleo ya uchumi wa Taifa, kwani zaidi ya asilimia 90 ya mizigo inayotoka na kuingia nchini inapitia baharini.