Akizungumza akiwa Mwenge Dar es Salaam leo, katika ziara maalum ya kutembelea wateja na kutoa elimu juu ya huduma hii, Mkuu wa Huduma za Kidijitali, Edward Balandya amesema kuwa: “Kwa kipindi maalum hadi Aprili 2026, miamala ya zaidi ya TZS 40,000 itatozwa ada ya TZS 1,000 tu, ikiruhusu wateja kulipa kiasi kikubwa kwa gharama ndogo.” …