Sababu Rita kuvunja Bodi ya Wadhamini Kanisa la Wasabato
Kanyusi amesema pia kanisa limepewa siku saba kuwasilisha Rita majina ya wajumbe 10 watakaounda kamati ya muda itakayoratibu shughuli za zake hadi uteuzi wa bodi mpya ya wadhamini utakapofanyika.