Serikali yataka elimu ya lishe itolewe na wataalamu wa lishe kuepuka upotoshaji

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewataka wanataaluma wa lishe nchini kutoa elimu sahihi kwa wananchi kwa viwango vinavyokubalika kupitia kwa makundi mbalimbali ikiwemo wana-habari, mama lishe, baba lishe ili jamii ione faida ya uwepo wa wanataaluma hao. Dkt. Magembe amesema hayo alipokua anafungua Mkutano Mkuu wa Nne wa Chama cha Wataalamu wa Lishe …