Siri nzito: Tulilipwa tuandae Press kumkejeli Mo Dewji

TULILIPWA TUANDAE PRESS YA KUMKATAA MO DEWJI SIKU NANE KABLA Shabiki wa klabu ya Simba maarufu kama @malaikawasimba amefunguka juu mkutano wa mashabiki wa Simba na waandishi wa habari uliofanyika kwa ajili ya kumkataa tajiri wa timu hiyo Mo Dewji, Pia ametoa mtazamo wake kuhusu nini kifanyike kwenye klabu hiyo. Kuangalia video kamili tembelea ukurasa …