Kardinali Pengo alivyoagwa Dar

Kwa mujibu wa Askofu Mchamungu, Kardinali Pengo aliishi kile alichokihubiri. Unyenyekevu wake haukuwa wa maneno, bali wa matendo. Alijitoa kwa Kanisa kwa moyo wote na hakuwa mtu wa kujilimbikizia mali.