Kupitia kwenye kipindi cha RECAP & MANDO @el_mando_tz ameupongeza Uongozi wa Alikiba kwa kuifanya Samia Cup kuwa miongoni mwa Project zilizofanikiwa zaidi Tanzania. Ameongeza kuwa kwa sasa Samia Cup ni Brand inayojiuza yenyewe haihitaji hata uwepo wa Alikiba, Alikiba apunguze kwenda Uwanja maana atazpeleka sana upande wa Brand yake. Uchambuzi mzima upo katika akaunti yetu ya YouTube …