Ujenzi waiva kituo cha polisi Mchinga

LINDI: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema Serikali itaanza ujenzi wa kituo kipya cha Polisi cha Mchinga kwa lengo la kuboresha mazingira ya kazi kwa askari na kuongeza ubora wa huduma za usalama kwa Wananchi kufuatia ukuaji wa shughuli za kiuchumi katika eneo hilo. Akizungumza leo mara baada ya … The post Ujenzi waiva kituo cha polisi Mchinga first appeared on HabariLeo .