Balozi Luvanda amesema maadhimisho hayo yanawezesha kutathmini walipotoka, walipo sasa na wanapokwenda, kwa kuzingatia mabadiliko ya teknolojia, kijamii na kiuchumi, mafanikio na changamoto zinazotokana na mabadiliko hayo, ikiwemo mabadiliko ya tabia nchi.