Wawili waliohukumiwa kifo kwa mauaji, kujaribu kuua waachiwa huru

Walioachiwa huru ni Emmanuel Sayi na Yohani Emmanuel, ambao awali, wao na watu wengine watano, walikutwa na hatia ya kumuua Ester Kondela na kujaribu kumuua Leticia Daud.