Mafwele, wengine 42 kutoa ushahidi kesi ya askari wa silaha

Wakili wa Serikali, Cathbert Mbiling'i, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Jumatatu, Machi 16, 2026, wakati akiwasomea hoja za awali (PH) washtakiwa hao.