Israel yadai kumuua waziri wa ujasusi wa Iran, mvutano wazidi kupamba moto
Mvutano wa kijeshi kati ya Israel na Iran umeingia hatua mpya kufuatia madai ya Israel kuwa imemuua Waziri wa Ujasusi wa Iran, Esmail Khatib, katika mashambulizi ya anga yaliyofanyika usiku wa kuamkia jana Jumanne.