Maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani yakiwa na kauli mbiu ya “Maji na Jinsia” jamii imehamasishwa kushiriki kikamilifu katika uhifadhi wa rasilimali maji na mazingira. Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) imefanya shughuli mbalimbali za uelimishaji kwa wananchi kuhusu uhifadhi wa vyanzo vya maji, Katika kuadhimisha wiki hiyo, jumla ya …