Bei ya gesi barani Ulaya imepanda kwa zaidi ya asilimia 30, baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kutishia kulipua kwa nguvu eneo kubwa la gesi Mashariki ya Kati, huku kukiwa na hofu ya bei ya mafuta ghafi kufikia Dola 200 za Marekani kwa pipa na madhara ya kiuchumi yanayoweza kudumu kwa miaka kadhaa.