CHAN imeisha, tujipange kwa michuano mingine

SAFARI ya Taifa Stars kwenye michuano ya Mabingwa wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN 2024) imeishia kwenye hatua ya robo fainali baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Morocco. Robo fainali ni hatua ya juu kufikiwa na Stars katika michuano hiyo ambayo ilifanyika kwa ushirikiano wa nchi tatu za Afrika Mashariki: Tanzania, … The post CHAN imeisha, tujipange kwa michuano mingine first appeared on HabariLeo .