Wahitimu 50 kidato cha sita wapenya 'Samia Scholarship Extended'

Mchakato wa uteuzi ulifanyika kwa ushirikiano kati ya Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST), na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), huku majina ya waliofaulu yakiwa tayari yamewekwa kwenye tovuti za taasisi hizo.