NMB yatangaza neema kwa wadau wa utalii

Wakati sekta ya utalii nchini Tanzania ikiendelea kuwa kinara katika uingizaji wa fedha za kigeni, wadau na wafanyabiashara wanaohusika kwenye sekta hiyo wamehakikishiwa ushirikiano ili kuendelea kukua kwa kasi.