Malezi na makuzi ya mtoto ni jukumu kubwa na la msingi kwa mzazi. Katika ulimwengu wa sasa, ambapo changamoto za kijamii na kiteknolojia zimekuwa nyingi, wazazi wanapaswa kujikita zaidi katika kuzingatia sayansi ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto.