Chama Ajiunga na Singida Black Stars kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja

Kiungo mshambuliaji kutoka Zambia, Clatous Chama, amemalizana na klabu ya Singida Black Stars baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea timu hiyo katika msimu wa 2025/26. Chama, ambaye msimu uliopita (2024/25) alikuwemo kwenye kikosi cha Yanga SC, alikuwa huru baada ya mkataba wake wa mwaka mmoja kumalizika. Nyota huyo awali alijiunga na Yanga akitokea […]